Kutoka 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo Musa na Waisraeli wakamwimbia Yehova wimbo huu:+ “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana amekwezwa sana.+ Farasi na mpandaji wake amewavurumisha baharini.+ Kutoka 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mawimbi makubwa yaliwafunika; wakazama vilindini kama jiwe.+ Kutoka 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ulipuliza bahari kwa pumzi yako, ikawafunika;+Walizama kama madini ya risasi katika maji makuu.
15 Wakati huo Musa na Waisraeli wakamwimbia Yehova wimbo huu:+ “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana amekwezwa sana.+ Farasi na mpandaji wake amewavurumisha baharini.+