14 Isitoshe, tangu siku mfalme aliponiteua kuwa gavana+ katika nchi ya Yuda, kuanzia mwaka wa 20+ mpaka mwaka wa 32+ wa utawala wa Mfalme Artashasta,+ miaka 12, mimi na ndugu zangu hatukula chakula kilichokuwa haki ya gavana.+
6 Wakati huo wote mimi sikuwa Yerusalemu, kwa maana nilirudi kwa mfalme katika mwaka wa 32+ wa utawala wa Mfalme Artashasta+ wa Babiloni; na baada ya muda fulani nikamwomba mfalme ruhusa ya kuondoka.