Ezra 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baada ya mambo hayo, wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta+ wa Uajemi, Ezra*+ akarudi. Alikuwa mwana wa Seraya,+ mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,+ Nehemia 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika mwezi wa Nisani,* mwaka wa 20+ wa utawala wa Mfalme Artashasta,+ divai ililetwa mbele yake, nami kama kawaida, nikaichukua divai hiyo na kumpa mfalme.+ Lakini sikuwahi kuonekana nikiwa mwenye huzuni mbele yake.
7 Baada ya mambo hayo, wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta+ wa Uajemi, Ezra*+ akarudi. Alikuwa mwana wa Seraya,+ mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,+
2 Katika mwezi wa Nisani,* mwaka wa 20+ wa utawala wa Mfalme Artashasta,+ divai ililetwa mbele yake, nami kama kawaida, nikaichukua divai hiyo na kumpa mfalme.+ Lakini sikuwahi kuonekana nikiwa mwenye huzuni mbele yake.