Ezra 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baada ya mambo hayo, wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta+ wa Uajemi, Ezra*+ akarudi. Alikuwa mwana wa Seraya,+ mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,+ Nehemia 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakati huo wote mimi sikuwa Yerusalemu, kwa maana nilirudi kwa mfalme katika mwaka wa 32+ wa utawala wa Mfalme Artashasta+ wa Babiloni; na baada ya muda fulani nikamwomba mfalme ruhusa ya kuondoka.
7 Baada ya mambo hayo, wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta+ wa Uajemi, Ezra*+ akarudi. Alikuwa mwana wa Seraya,+ mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,+
6 Wakati huo wote mimi sikuwa Yerusalemu, kwa maana nilirudi kwa mfalme katika mwaka wa 32+ wa utawala wa Mfalme Artashasta+ wa Babiloni; na baada ya muda fulani nikamwomba mfalme ruhusa ya kuondoka.