8 Basi hawa ndio waliokuwa viongozi wa koo na hii ndiyo orodha ya ukoo wa wale waliopanda pamoja nami kutoka Babiloni wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta:+ 2 ukoo wa wana wa Finehasi,+ Gershomu; wa wana wa Ithamari,+ Danieli; wa wana wa Daudi, Hatushi;