Ezra 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi,+ waimbaji,+ walinzi wa malango,+ na watumishi wa hekaluni,*+ wakapanda kwenda Yerusalemu katika mwaka wa saba wa utawala wa Mfalme Artashasta.
7 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi,+ waimbaji,+ walinzi wa malango,+ na watumishi wa hekaluni,*+ wakapanda kwenda Yerusalemu katika mwaka wa saba wa utawala wa Mfalme Artashasta.