Ezra 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo baadhi ya wana wa Israeli na wa makuhani+ na Walawi+ na waimbaji+ na watunza-malango+ na Wanethini+ wakaenda Yerusalemu katika mwaka wa saba wa Mfalme Artashasta.+ Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:7 Mnara wa Mlinzi,1/15/1986, uku. 9
7 Kwa hiyo baadhi ya wana wa Israeli na wa makuhani+ na Walawi+ na waimbaji+ na watunza-malango+ na Wanethini+ wakaenda Yerusalemu katika mwaka wa saba wa Mfalme Artashasta.+