1 Mambo ya Nyakati 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nao wakawa wahudumu+ katika kuimba+ mbele ya maskani ya hema la mkutano mpaka Sulemani alipoijenga nyumba ya Yehova katika Yerusalemu;+ nao wakaendelea kufanya utumishi wao kulingana na utume wao.+
32 Nao wakawa wahudumu+ katika kuimba+ mbele ya maskani ya hema la mkutano mpaka Sulemani alipoijenga nyumba ya Yehova katika Yerusalemu;+ nao wakaendelea kufanya utumishi wao kulingana na utume wao.+