Ezra 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nikawakusanya kwenye mto+ unaokuja Ahava;+ nasi tukaendelea kupiga kambi hapo siku tatu, ili niwakague watu+ na makuhani+ kwa uangalifu, wala sikupata hata mmoja wa wana wa Lawi+ hapo.
15 Nami nikawakusanya kwenye mto+ unaokuja Ahava;+ nasi tukaendelea kupiga kambi hapo siku tatu, ili niwakague watu+ na makuhani+ kwa uangalifu, wala sikupata hata mmoja wa wana wa Lawi+ hapo.