21 Ndipo nikatangaza kwamba watu wafunge hapo penye mto Ahava, ili tujinyenyekeze+ mbele za Mungu wetu, tutafute kutoka kwake njia iliyo sawa+ kwa ajili yetu na kwa ajili ya watoto wetu+ na kwa ajili ya mali zetu zote.
31 Mwishowe tukasafiri kutoka mto Ahava+ siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza+ ili kwenda Yerusalemu, na mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye akatukomboa+ kutoka mkononi mwa adui na watu wenye kuvizia njiani.