Ezra 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mwishowe tukaondoka kwenye mto Ahava+ siku ya 12 ya mwezi wa kwanza+ na kuelekea Yerusalemu, na mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye akatuokoa kutoka mikononi mwa maadui na wavamizi njiani.
31 Mwishowe tukaondoka kwenye mto Ahava+ siku ya 12 ya mwezi wa kwanza+ na kuelekea Yerusalemu, na mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye akatuokoa kutoka mikononi mwa maadui na wavamizi njiani.