Ezra 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mwishowe tukasafiri kutoka mto Ahava+ siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza+ ili kwenda Yerusalemu, na mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye akatukomboa+ kutoka mkononi mwa adui na watu wenye kuvizia njiani.
31 Mwishowe tukasafiri kutoka mto Ahava+ siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza+ ili kwenda Yerusalemu, na mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye akatukomboa+ kutoka mkononi mwa adui na watu wenye kuvizia njiani.