15 Nami nikawakusanya kwenye mto+ unaokuja Ahava;+ nasi tukaendelea kupiga kambi hapo siku tatu, ili niwakague watu+ na makuhani+ kwa uangalifu, wala sikupata hata mmoja wa wana wa Lawi+ hapo.
21 Ndipo nikatangaza kwamba watu wafunge hapo penye mto Ahava, ili tujinyenyekeze+ mbele za Mungu wetu, tutafute kutoka kwake njia iliyo sawa+ kwa ajili yetu na kwa ajili ya watoto wetu+ na kwa ajili ya mali zetu zote.