Nehemia 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Msimamizi wa Walawi walioishi Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani mwana wa Hashabia mwana wa Matania+ mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, waimbaji; alisimamia kazi ya nyumba ya Mungu wa kweli. Nehemia 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Matania,+ Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni, na Akubu+ walikuwa walinzi wa malango,+ walilinda maghala yaliyokuwa karibu na malango.
22 Msimamizi wa Walawi walioishi Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani mwana wa Hashabia mwana wa Matania+ mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, waimbaji; alisimamia kazi ya nyumba ya Mungu wa kweli.
25 Matania,+ Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni, na Akubu+ walikuwa walinzi wa malango,+ walilinda maghala yaliyokuwa karibu na malango.