Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Walinzi wa malango+ walikuwa Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani, na ndugu yao Shalumu alikuwa kiongozi,

  • Ezra 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+

  • Ezra 2:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Wana wa walinzi wa malango:+ wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni,+ wana wa Akubu,+ wana wa Hatita, wana wa Shobai, wote pamoja walikuwa 139.

  • Nehemia 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa wakuu wa watu walikuwa wakiishi Yerusalemu;+ lakini watu wengine wote walipiga kura+ ili mtu mmoja kati ya watu kumi aishi Yerusalemu, lile jiji takatifu, na wale wengine tisa waliishi katika majiji mengine.

  • Nehemia 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na walinzi wa malango walikuwa Akubu, Talmoni,+ na ndugu zao waliolinda malango walikuwa 172.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki