2Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+
42 Wana wa walinzi wa malango:+ wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni,+ wana wa Akubu,+ wana wa Hatita, wana wa Shobai, wote pamoja walikuwa 139.
11Sasa wakuu wa watu walikuwa wakiishi Yerusalemu;+ lakini watu wengine wote walipiga kura+ ili mtu mmoja kati ya watu kumi aishi Yerusalemu, lile jiji takatifu, na wale wengine tisa waliishi katika majiji mengine.