Ezra 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+ Ezra 2:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Watumishi wote wa hekaluni* na wana wa watumishi wa Sulemani walikuwa 392.
2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+