13 Nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bondeni,+ nikapita mbele ya Chemchemi ya Nyoka Mkubwa, nikaelekea kwenye Lango la Marundo ya Majivu,+ nami nikachunguza kuta za Yerusalemu zilizokuwa zimebomolewa na malango yake yaliyokuwa yameteketezwa kwa moto.+
13 Hanuni na wakaaji wa Zanoa+ walirekebisha Lango la Bondeni;+ wakalijenga na kuweka milango yake, makomeo yake, na mapingo yake, pia walirekebisha sehemu ya ukuta yenye urefu wa mikono 1,000* mpaka kwenye Lango la Marundo ya Majivu.+