Nehemia 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakanijibu: “Wale waliobaki na kuponyoka utekwani ambao wamebaki katika mkoa* ule wako katika hali mbaya sana na yenye kuaibisha.+ Kuta za Yerusalemu zimebomolewa,+ na malango yake yameteketezwa kwa moto.”+ Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali. Maombolezo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Malango yake yamezama chini ardhini.+ Ameyaharibu na kuyavunja makomeo yake. Mfalme wake na wakuu wake wako miongoni mwa mataifa.+ Hakuna sheria;* hata manabii wake hawapati maono kutoka kwa Yehova.+
3 Wakanijibu: “Wale waliobaki na kuponyoka utekwani ambao wamebaki katika mkoa* ule wako katika hali mbaya sana na yenye kuaibisha.+ Kuta za Yerusalemu zimebomolewa,+ na malango yake yameteketezwa kwa moto.”+
4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali.
9 Malango yake yamezama chini ardhini.+ Ameyaharibu na kuyavunja makomeo yake. Mfalme wake na wakuu wake wako miongoni mwa mataifa.+ Hakuna sheria;* hata manabii wake hawapati maono kutoka kwa Yehova.+