-
Esta 7:4-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Kwa maana tumeuzwa,+ mimi na watu wangu, tuangamizwe, tuuawe, na kufutiliwa mbali.+ Kama tungeuzwa tuwe watumwa wa kiume na wa kike, ningekaa kimya. Lakini msiba huu haufai, kwa sababu utamletea mfalme hasara.”
5 Ndipo mfalme Ahasuero akamuuliza Malkia Esta: “Ni nani huyo, na yuko wapi mwanamume aliyethubutu kufanya jambo hilo?” 6 Esta akasema: “Mpinzani na adui ni huyu Hamani mwovu.”
Hamani akaogopa sana kwa sababu ya mfalme na malkia.
-