Hesabu 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Maji yanaendelea kutiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake imepandwa* kando ya maji mengi.+ Mfalme wake+ pia atakuwa mkuu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utakwezwa.+ 1 Samweli 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Akamkamata Agagi+ mfalme wa Amaleki akiwa hai, lakini watu wengine wote akawaangamiza kwa upanga.+ 1 Samweli 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kisha Samweli akasema: “Mleteni hapa Agagi mfalme wa Waamaleki.” Ndipo Agagi akaja kwake akisitasita,* kwa sababu Agagi alisema moyoni mwake: “Kwa hakika hatari ya kifo imepita.”*
7 Maji yanaendelea kutiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake imepandwa* kando ya maji mengi.+ Mfalme wake+ pia atakuwa mkuu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utakwezwa.+
32 Kisha Samweli akasema: “Mleteni hapa Agagi mfalme wa Waamaleki.” Ndipo Agagi akaja kwake akisitasita,* kwa sababu Agagi alisema moyoni mwake: “Kwa hakika hatari ya kifo imepita.”*