3 katika mwaka wa tatu wa utawala wake aliwafanyia karamu wakuu na watumishi wake wote. Jeshi la Uajemi+ na Umedi,+ watu mashuhuri, na wakuu wa mikoa* walikuwa mbele yake,
15 Mwishowe wanaume hao wakaenda mbele ya mfalme wakiwa kikundi na kumwambia: “Ee mfalme, zingatia kwamba sheria ya Wamedi na Waajemi inasema kwamba marufuku yoyote au amri yoyote iliyowekwa na mfalme haiwezi kubadilishwa.”+