Isaya 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nimeambiwa maono ya kutisha: Mwenye hila anatenda kwa hila,Na mwangamizaji, anaangamiza. Nenda juu, ewe Elamu! Zingira, ewe Umedi!+ Nitakomesha kilio chote cha uchungu alichosababisha.+ Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake. Danieli 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “PERESI, ufalme wako umegawanywa wakapewa Wamedi na Waajemi.”+
2 Nimeambiwa maono ya kutisha: Mwenye hila anatenda kwa hila,Na mwangamizaji, anaangamiza. Nenda juu, ewe Elamu! Zingira, ewe Umedi!+ Nitakomesha kilio chote cha uchungu alichosababisha.+
11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.