Esta 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikuwa mlezi* wa Hadasa,* yaani, Esta binti ya ndugu ya baba yake,+ kwa maana Esta hakuwa na baba wala mama. Msichana huyo alikuwa mrembo na mwenye umbo zuri, na baba na mama yake walipokufa, Mordekai alimchukua na kumlea kama binti yake. Esta 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Esta hakusema lolote kuhusu watu wake+ wala watu wake wa ukoo, kwa maana Mordekai+ alikuwa amemwagiza asimwambie yeyote.+
7 Alikuwa mlezi* wa Hadasa,* yaani, Esta binti ya ndugu ya baba yake,+ kwa maana Esta hakuwa na baba wala mama. Msichana huyo alikuwa mrembo na mwenye umbo zuri, na baba na mama yake walipokufa, Mordekai alimchukua na kumlea kama binti yake.
10 Esta hakusema lolote kuhusu watu wake+ wala watu wake wa ukoo, kwa maana Mordekai+ alikuwa amemwagiza asimwambie yeyote.+