Esta 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Siku hiyo Hamani aliondoka akiwa na shangwe na uchangamfu moyoni. Lakini Hamani alipomwona Mordekai katika lango la mfalme na kutambua kwamba hakusimama wala kutetemeka alipomwona, Hamani alimkasirikia sana Mordekai.+
9 Siku hiyo Hamani aliondoka akiwa na shangwe na uchangamfu moyoni. Lakini Hamani alipomwona Mordekai katika lango la mfalme na kutambua kwamba hakusimama wala kutetemeka alipomwona, Hamani alimkasirikia sana Mordekai.+