Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 3:8-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero: “Kuna watu fulani waliotawanyika na kusambaa kati ya watu+ katika mikoa yote ya* milki yako,+ ambao sheria zao ni tofauti na za watu wengine wote, nao hawatii sheria za mfalme, na wakiachwa watamletea mfalme hasara. 9 Mfalme akipenda, amri ya kuwaangamiza Wayahudi na iandikwe. Nitawapa maofisa talanta 10,000 za fedha* ili waziweke katika hazina ya mfalme.”*

      10 Ndipo mfalme akavua pete yake ya muhuri+ kutoka mkononi mwake, akampa Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ aliyekuwa adui wa Wayahudi. 11 Mfalme akamwambia Hamani: “Umepewa fedha na pia watu hao ili uwatendee upendavyo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki