Ayubu 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa nini sikufa nilipozaliwa? Kwa nini sikuangamia nilipotoka tumboni?+ Yeremia 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa nini nilitoka tumboniIli kuona taabu na huzuni,Na kumaliza siku zangu kwa aibu?+