Yeremia 20:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa nini hakuniua ndani ya tumbo la uzazi,Ili mama yangu awe kaburi languNa tumbo lake liwe na mimba sikuzote?+ 18 Kwa nini nilitoka tumboniIli kuona taabu na huzuni,Na kumaliza siku zangu kwa aibu?+
17 Kwa nini hakuniua ndani ya tumbo la uzazi,Ili mama yangu awe kaburi languNa tumbo lake liwe na mimba sikuzote?+ 18 Kwa nini nilitoka tumboniIli kuona taabu na huzuni,Na kumaliza siku zangu kwa aibu?+