Ayubu 8:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa* wote wanaomsahau Mungu,Kwa maana tumaini la wanaomkataa Mungu* litapotea,14 Ambao tegemeo lao ni ubatiliNa ambao tumaini lao ni hafifu kama utando wa* buibui. Ayubu 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naam, nuru ya mwovu itazimwa,Na mwali wa moto wake hautang’aa.+ Ayubu 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ameng’olewa kutoka katika hema lake lililo salama+Na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.*
13 Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa* wote wanaomsahau Mungu,Kwa maana tumaini la wanaomkataa Mungu* litapotea,14 Ambao tegemeo lao ni ubatiliNa ambao tumaini lao ni hafifu kama utando wa* buibui.