Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 8:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa* wote wanaomsahau Mungu,

      Kwa maana tumaini la wanaomkataa Mungu* litapotea,

      14 Ambao tegemeo lao ni ubatili

      Na ambao tumaini lao ni hafifu kama utando wa* buibui.

  • Ayubu 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Naam, nuru ya mwovu itazimwa,

      Na mwali wa moto wake hautang’aa.+

  • Ayubu 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ameng’olewa kutoka katika hema lake lililo salama+

      Na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki