Ayubu 8:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa* wote wanaomsahau Mungu,Kwa maana tumaini la wanaomkataa Mungu* litapotea,14 Ambao tegemeo lao ni ubatiliNa ambao tumaini lao ni hafifu kama utando wa* buibui. Ayubu 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini macho ya waovu yatadhoofika;Nao hawatapata mahali pa kukimbilia,Na tumaini lao pekee litakuwa kifo.”+
13 Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa* wote wanaomsahau Mungu,Kwa maana tumaini la wanaomkataa Mungu* litapotea,14 Ambao tegemeo lao ni ubatiliNa ambao tumaini lao ni hafifu kama utando wa* buibui.
20 Lakini macho ya waovu yatadhoofika;Nao hawatapata mahali pa kukimbilia,Na tumaini lao pekee litakuwa kifo.”+