20 Unaketi na kumsema vibaya ndugu yako mwenyewe;+
Unafunua makosa ya mwana wa mama yako mwenyewe.
21 Ulipofanya mambo hayo, niliendelea kunyamaza,
Kwa hiyo ukafikiri kwamba nitakuwa kama wewe.
Lakini sasa nitakukaripia,
Nami nitatangaza kesi yangu dhidi yako.+