Zaburi 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anaziita mbingu zilizo juu na pia dunia,+Ili awahukumu watu wake:+ Mhubiri 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lililofichwa, kuwa jema au baya.+
14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lililofichwa, kuwa jema au baya.+