Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 27:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana mtu anayemkataa Mungu* ana tumaini gani anapoangamizwa,+

      Mungu anapoondoa uhai wake?*

  • Ayubu 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wanaomkataa Mungu* moyoni watakuwa na kinyongo.

      Hawalilii msaada hata anapowafunga.

  • Isaya 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Watenda dhambi walio Sayuni wanaogopa;+

      Waasi imani wanatetemeka:

      ‘Ni nani kati yetu anayeweza kuishi mahali palipo na moto unaoteketeza?+

      Ni nani kati yetu anayeweza kuishi na miale isiyoweza kuzimwa?’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki