Ayubu 13:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata akiniua, bado nitangoja;+Nitajitetea* mbele zake. 16 Ndipo atakapokuwa wokovu wangu,+Kwa maana hakuna mtu aliyemkataa Mungu* anayeweza kuja mbele zake.+ Ayubu 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wanaomkataa Mungu* moyoni watakuwa na kinyongo. Hawalilii msaada hata anapowafunga.
15 Hata akiniua, bado nitangoja;+Nitajitetea* mbele zake. 16 Ndipo atakapokuwa wokovu wangu,+Kwa maana hakuna mtu aliyemkataa Mungu* anayeweza kuja mbele zake.+