Kutoka 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,* kwa maana amekuwa wokovu wangu.+ Huyu ni Mungu wangu, nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nitamkweza.+ Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani? Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+
2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,* kwa maana amekuwa wokovu wangu.+ Huyu ni Mungu wangu, nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nitamkweza.+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani?
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+