Mwanzo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Adamu aliishi miaka 130, kisha akazaa mwana kwa mfano wake, kwa sura yake, akampa jina Sethi.+ Zaburi 51:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Nilizaliwa nikiwa na hatia ya kosa,Na mama yangu alinichukua mimba katika dhambi.*+ Waroma 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia dhambi,+ basi kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia dhambi,+ basi kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.