Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Lakini wewe, endelea mpaka mwisho. Utapumzika, lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako* mwishoni mwa zile siku.”+

  • Yohana 5:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Msishangazwe na jambo hili, kwa maana saa inakuja ambayo wote walio katika makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake+ 29 na kutoka, wale waliotenda mema kwenye ufufuo wa uzima, na wale waliozoea kutenda maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+

  • Yohana 11:43, 44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Baada ya kusema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro, njoo huku nje!”+ 44 Mtu huyo aliyekuwa amekufa akatoka, miguu na mikono yake ikiwa imefungwa kwa vitambaa, na uso wake ukiwa umefungwa kwa kitambaa. Yesu akawaambia: “Mfungueni, mmwache aende.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki