Ayubu 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vitisho vinamwogopesha pande zote+Na kumfuatia miguuni pake. Ayubu 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Huchomoa mshale mgongoni mwake,Silaha inayong’aa kutoka kwenye nyongo yake,Naye hushikwa na hofu.+
25 Huchomoa mshale mgongoni mwake,Silaha inayong’aa kutoka kwenye nyongo yake,Naye hushikwa na hofu.+