Ayubu 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Masikio yake husikia sauti zenye kutisha;+Wakati wa amani, wavamizi humshambulia. Ayubu 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naam, nuru ya mwovu itazimwa,Na mwali wa moto wake hautang’aa.+ Ayubu 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vitisho vinamwogopesha pande zote+Na kumfuatia miguuni pake.