Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nimechoka kwa sababu ya kulia kwa uchungu;+

      Usiku kucha ninakilowesha kitanda changu kwa machozi;*

      Kochi langu nalifanya lifurike kwa machozi.+

  • Zaburi 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki.

      Maumivu makali yamefanya macho yangu yadhoofike,+ na pia mwili wangu wote.*+

  • Maombolezo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi.

      Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami.

      Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki