Zaburi 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimechoka kwa sababu ya kulia kwa uchungu;+Usiku kucha ninakilowesha kitanda changu kwa machozi;*Kochi langu nalifanya lifurike kwa machozi.+ Zaburi 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki. Maumivu makali yamefanya macho yangu yadhoofike,+ na pia mwili wangu wote.*+ Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi. Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami. Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.
6 Nimechoka kwa sababu ya kulia kwa uchungu;+Usiku kucha ninakilowesha kitanda changu kwa machozi;*Kochi langu nalifanya lifurike kwa machozi.+
9 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki. Maumivu makali yamefanya macho yangu yadhoofike,+ na pia mwili wangu wote.*+
16 Ninalia kwa sababu ya mambo haya;+ macho yangu yanatiririka machozi. Kwa maana yeyote ambaye angenifariji au kuniburudisha yuko mbali sana nami. Wanangu wamebaki ukiwa, kwa maana adui ameshinda.