Yeremia 31:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Yehova anasema hivi: ‘Sauti inasikika kule Rama,+ maombolezo na kilio cha uchungu: Raheli anawalilia wanawe.*+ Amekataa kufarijiwa kuhusiana na wanawe,Kwa sababu hawako tena.’”+
15 “Yehova anasema hivi: ‘Sauti inasikika kule Rama,+ maombolezo na kilio cha uchungu: Raheli anawalilia wanawe.*+ Amekataa kufarijiwa kuhusiana na wanawe,Kwa sababu hawako tena.’”+