Zaburi 40:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nilimtumaini Yehova kwa bidii,*Naye akanitegea sikio lake na kusikia* kilio changu cha kuomba msaada.+ Zaburi 142:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ninamwaga mahangaiko yangu mbele zake;Mbele zake ninaeleza taabu yangu+
40 Nilimtumaini Yehova kwa bidii,*Naye akanitegea sikio lake na kusikia* kilio changu cha kuomba msaada.+