Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Katika taabu yangu nilimwita Yehova,

      Niliendelea kumlilia Mungu wangu anisaidie.

      Akiwa katika hekalu lake aliisikia sauti yangu,+

      Na kilio changu cha kumwomba msaada kilifika masikioni mwake.+

  • Yona 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Uhai wangu ulipokuwa ukitoka polepole, Yehova Ndiye niliyemkumbuka.+

      Ndipo sala yangu ikakufikia, ndani ya hekalu lako takatifu.+

  • Mathayo 26:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Ndipo akawaambia: “Nimehuzunika* sana, kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha pamoja nami.”+ 39 Akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali:+ “Baba yangu, ikiwa inawezekana, niondolee kikombe hiki.+ Lakini, si kama ninavyopenda, bali kama unavyopenda.”+

  • Marko 15:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na saa tisa Yesu akapaza sauti: “Eli, Eli, lama sabakthani?” maneno hayo yanapotafsiriwa yanamaanisha, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”+

  • Waebrania 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki