Zaburi 142:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ninamwaga mahangaiko yangu mbele zake;Mbele zake ninaeleza taabu yangu+ 3 Roho yangu inapozimia ndani yangu.* Ndipo unapoitazama barabara yangu.+ Katika njia ninayotembea,Wanaficha mtego wa kuninasa. Zaburi 143:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho yangu inazimia;*+Moyo wangu umekufa ganzi.+ 5 Ninazikumbuka siku za kale;Ninatafakari utendaji wako wote;+Ninatafakari* kwa bidii kazi ya mikono yako.
2 Ninamwaga mahangaiko yangu mbele zake;Mbele zake ninaeleza taabu yangu+ 3 Roho yangu inapozimia ndani yangu.* Ndipo unapoitazama barabara yangu.+ Katika njia ninayotembea,Wanaficha mtego wa kuninasa.
4 Roho yangu inazimia;*+Moyo wangu umekufa ganzi.+ 5 Ninazikumbuka siku za kale;Ninatafakari utendaji wako wote;+Ninatafakari* kwa bidii kazi ya mikono yako.