Zaburi 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wasiomwogopa Mungu wananidhihaki kwa dharau,*Wananisagia meno yao.+ Waebrania 11:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa kudhihakiwa na kupigwa kwa mijeledi, naam, isitoshe, kwa kufungwa minyororo+ na magerezani.+
36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa kudhihakiwa na kupigwa kwa mijeledi, naam, isitoshe, kwa kufungwa minyororo+ na magerezani.+