Zaburi 24:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+Na ni nani anayeweza kusimama mahali pake patakatifu? 4 Yeyote mwenye mikono isiyo na hatia na mwenye moyo safi,+Ambaye hajaapa kwa uwongo kwa uhai Wangu,*Wala kuapa kwa udanganyifu.+ Zaburi 84:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wenye furaha ni watu wanaopata nguvu kutoka kwako,+Ambao mioyo yao inatamani sana* barabara kuu. Zaburi 84:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wataendelea kutembea kutoka nguvu hadi nguvu zaidi;+Kila mmoja wao hufika mbele za Mungu kule Sayuni.
3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+Na ni nani anayeweza kusimama mahali pake patakatifu? 4 Yeyote mwenye mikono isiyo na hatia na mwenye moyo safi,+Ambaye hajaapa kwa uwongo kwa uhai Wangu,*Wala kuapa kwa udanganyifu.+
7 Wataendelea kutembea kutoka nguvu hadi nguvu zaidi;+Kila mmoja wao hufika mbele za Mungu kule Sayuni.