29 Yeye humpa nguvu mtu aliyechoka
Na kuwapa uwezo kamili wale wasio na nguvu.+
30 Wavulana watachoka na kuishiwa na nguvu,
Na vijana watajikwaa na kuanguka,
31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena.
Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+
Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;
Watatembea na hawatachoka.”+