Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mungu wa kweli ndiye anayenivisha nguvu,+

      Naye ataifanya njia yangu iwe kamilifu.+

  • Isaya 40:29-31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yeye humpa nguvu mtu aliyechoka

      Na kuwapa uwezo kamili wale wasio na nguvu.*+

      30 Wavulana watachoka na kuishiwa na nguvu,

      Na vijana watajikwaa na kuanguka,

      31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena.

      Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+

      Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;

      Watatembea na hawatachoka.”+

  • Habakuki 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ni nguvu zangu;+

      Ataifanya miguu yangu iwe kama ya paa

      Na kuniwezesha kutembea mahali palipoinuka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki