Ayubu 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Siku zangu zinasonga upesi sana kuliko gurudumu la mfumaji,+Nazo zinafikia mwisho bila tumaini.+ Ayubu 9:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa siku zangu zinakimbia kasi kuliko mkimbiaji;+Zinakimbia na kutoweka bila kuona mema. Isaya 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nilisema: “Katikati ya maisha yanguLazima niingie katika malango ya Kaburi.* Nitanyimwa miaka yangu iliyobaki.”
10 Nilisema: “Katikati ya maisha yanguLazima niingie katika malango ya Kaburi.* Nitanyimwa miaka yangu iliyobaki.”