Zaburi 102:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku zangu zinafifia kama kivuli,*+Nami ninanyauka kama majani.+ Zaburi 103:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku za mwanadamu anayeweza kufa ni kama za majani;+Yeye huchanua kama ua la shambani.+ Zaburi 144:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu ni kama pumzi tu;+Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+