- 
	                        
            
            Ayubu 14:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
19 Kama maji yanavyomomonyoa mawe
Na mafuriko yanavyosomba udongo,
Ndivyo ulivyoharibu tumaini la mwanadamu anayeweza kufa.
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Ayubu 19:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
10 Hunibomoa kila upande na kuniangamiza;
Anang’oa tumaini langu kama mti.
 
 -