-
Ayubu 1:10-12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Je, wewe hukuweka ukuta wa ulinzi kumzunguka yeye+ na nyumba yake na kila kitu alicho nacho? Umeibariki kazi ya mikono yake,+ na mifugo yake imeenea nchini. 11 Lakini, ili mambo yabadilike, nyoosha mkono wako na upige kila kitu alicho nacho, na kwa hakika atakutukana mbele za uso wako mwenyewe.” 12 Kisha Yehova akamwambia Shetani: “Tazama! Kila kitu alicho nacho kimo mikononi mwako.* Ila tu usimguse mwanamume huyo!” Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za* Yehova.+
-